Mwenyekiti
wa Shirikisho la Waendesha Bodaboda Wilaya ya Ilala, Michael Loswe
(kushoto), akisoma risala kwa mgeni rasmi, Edward Lowassa.
Mwenyekiti
wa Shirikisho la Waendesha Bodaboda Wilaya ya Ilala, Michael Loswe
(kushoto), akisoma risala kwa mgeni rasmi, Edward Lowassa.
Mbunge
wa Jimbo la Segerea, Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya
Vijana, Dk. Makongoro Mahanga, akiongea na waendesha bodaboda (hawapo
pichani).Lowasa ambaye ni Mbunge wa Monduli aliwataka waendesha bodaboda hao kuanzisha vyama vya kuweka na kukopa (Saccos) ambazo zitawasaidia kujiongezea kipato na kujinunulia pikipiki zao na kuachana na kuendesha pikipiki za matajiri.










