Angalia Video Hapa Chini Jinsi Daraja la Mpiji hapa Maeneo ya Bunju Mpakani mwa Dar na Bagamoyo lilivyokuwa linavunjika...... Watu 10
wamepoteza maisha jijini Dar es Salaam,huku mawasiliano kati ya jiji la Dar-Es-Salaam na wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani yakisimama kwa zaidi ya siku tatu,mara baada ya tuta la barabara pembezoni mwa daraja la mto Mpiji kusombwa na maji umbali wa mita arobani na kuleta adha kwa wananchi wanao tumia barabara hiyo.
wamepoteza maisha jijini Dar es Salaam,huku mawasiliano kati ya jiji la Dar-Es-Salaam na wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani yakisimama kwa zaidi ya siku tatu,mara baada ya tuta la barabara pembezoni mwa daraja la mto Mpiji kusombwa na maji umbali wa mita arobani na kuleta adha kwa wananchi wanao tumia barabara hiyo.