MAJAMBAZI WAGEUKANA NA KUPIGANA RISASI KISA MILIONI 9




Kutokana na pesa inavyoshika nafasi hapa Duniani ndivyo uaminifu unavyo zidi kupungua ukilinganisha na tukio lililo tokea hapa, nibaada ya majambazi waliokuwa wame pola pesa kiasi cha milioni 9 na kukimbiria maeneo fulani ikiwa miongoni walikuwa na lengo la kugeukana.


Kamanda wa Polisi Kinondoni anasema ‘December 11 2013 saa nane mchana maeneo ya Maringo roundaboutJaphet Mriga ambae ni Mwanajeshi wa JWTZ Lugalo akiwa na mwenzake ambae ni mfanyabiashara Abdul Zacharia, walikua wanatoka bank ya NMB Mlimani City ambapo Mwanajeshi huyu alichukua shilingi milioni tisa kwa dhumuni la kumpatia Zacharia ili amnunulie gari Zanzibar’

Mwili wa Jambazi alieuwawa akiwa na kofia ya kuendeshea pikipiki.


Pikipiki iliyotumiwa na majambazi




Mwanajeshi aliejeruhiwa.